Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 40:20-22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Sasa siku ya tatu (3) ilikuwa sikukuu ya kuzaliwa kwa Farao,+ na alifanya karamu kwa ajili ya watumishi wake wote, na akatosha katika gereza* mukubwa wa wanyweshaji na mukubwa wa watengenezaji wa mikate mbele ya watumishi wake. 21 Na akamurudisha mukubwa wa wanyweshaji katika kazi yake ya munyweshaji, na akaendelea kumupatia Farao kikombe. 22 Lakini akamutundika mukubwa wa watengenezaji wa mikate, kama vile Yosefu alikuwa amewafasiria.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine