Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 14:6-12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Lakini wakati wa karamu ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Herode,+ binti ya Herodia alicheza dansi kwenye karamu hiyo na kufurahisha sana Herode+ 7 mupaka akaahidi kwa kiapo kumupatia kila kitu chenye ataomba. 8 Halafu binti huyo, kwa sababu alichochewa na mama yake, akasema: “Unipatie hapa kwenye sahani kichwa cha Yohana Mubatizaji.”+ 9 Mufalme alihuzunika sana, lakini kwa sababu ya viapo vyenye alikuwa amefanya na kwa sababu ya watu wenye walikuwa wanakula* pamoja naye, akaamuru apewe kichwa hicho. 10 Basi Herode akatuma watu katika gereza ili wamukate Yohana kichwa. 11 Kichwa chake kikaletwa kwenye sahani na wakakipatia ule binti, naye akakipelekea mama yake. 12 Kisha wakati fulani wanafunzi wa Yohana wakakuja, wakatosha maiti yake na kumuzika; kisha wakaenda kumujulisha Yesu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine