29 Mubebe nira yangu na mujifunze kupitia mimi, kwa maana mimi ni mwenye tabia ya upole na munyenyekevu katika moyo,+ na mutapata pumuziko kwa ajili yenu.*
13 Wakati Yesu alisikia habari hiyo, akatoka pale kwa mashua,* akaenda mahali kwenye hakuna watu ili akuwe peke yake. Lakini wakati watu wengi walisikia vile, wakatoka katika miji na kumufuata kwa miguu.+