Matayo 14:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Wakati alifika pembeni ya bahari, akaona watu wengi sana, na akawasikilia huruma,+ na akaponyesha wagonjwa wao.+ Waebrania 4:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Kwa maana hatuna kuhani mukubwa mwenye hawezi kusikilia uzaifu wetu huruma,+ lakini tuko naye mwenye amejaribiwa katika mambo yote kama vile sisi, lakini bila kufanya zambi.+
14 Wakati alifika pembeni ya bahari, akaona watu wengi sana, na akawasikilia huruma,+ na akaponyesha wagonjwa wao.+
15 Kwa maana hatuna kuhani mukubwa mwenye hawezi kusikilia uzaifu wetu huruma,+ lakini tuko naye mwenye amejaribiwa katika mambo yote kama vile sisi, lakini bila kufanya zambi.+