Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 15:15-20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Petro akamuambia: “Utufasirie mufano huo.” 16 Basi akasema: “Je, ninyi pia bado hamuelewe?+ 17 Hamujue kama kitu chochote chenye kinaingia katika kinywa kinapita ndani ya tumbo na kisha kinatoka na kuingia katika choo?* 18 Lakini, mambo yenye yanatoka katika kinywa yanatoka katika moyo, na mambo hayo ndiyo yanamuchafua mutu.+ 19 Kwa mufano, mawazo mabaya:+ mauaji, uzinifu, uasherati,* wizi, ushahidi wa uongo, na maneno ya kumutukana Mungu, yanatoka katika moyo. 20 Hayo ndiyo mambo yenye yanamuchafua mutu; lakini kula bila kunawa mikono* hakumuchafue mutu.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine