Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 10:5, 6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Yesu akatuma hao kumi na mbili (12) na kuwapatia maagizo haya:+ “Musiende katika barabara ya mataifa, wala musiingie katika muji wowote wa Wasamaria;+ 6 lakini tofauti na hilo, muende tu kwa kondoo wenye kupotea wa nyumba ya Israeli.+

  • Matayo 15:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Yesu akamujibu: “Haiko sawa kukamata mukate wa watoto na kuutupia imbwa wadogo.”

  • Waroma 9:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 wenye kuwa Waisraeli. Wao ndio wenye walifanywa kuwa wana+ na kupewa utukufu na maagano+ na Sheria+ na utumishi mutakatifu+ na ahadi.+

  • Waefeso 2:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Wakati huo mulikuwa bila Kristo, mulikuwa mumetengwa na taifa la Israeli, mulikuwa wageni kwa maagano ya ahadi;+ hamukukuwa na tumaini na mulikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine