-
Yohana 4:49-51Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
49 Ule ofisa wa mufalme akamuambia: “Bwana, shuka ukuje mbele mutoto wangu mudogo akufe.” 50 Yesu akamuambia: “Uende; mwana wako iko* muzima.”+ Ule mutu akaamini maneno yenye Yesu alimuambia, na akaenda. 51 Lakini wakati alikuwa anashuka katika njia, watumwa wake wakakutana naye, na wakamuambia kwamba kijana wake mwanaume ni muzima.*
-