Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Luka 4:31-37
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Kisha akashuka kuenda Kapernaumu, muji mumoja wa Galilaya. Na alikuwa anawafundisha siku ya Sabato,+ 32 na wakashangazwa na namna yake ya kufundisha,+ kwa sababu alisema kwa mamlaka. 33 Sasa katika sinagogi kulikuwa mutu mwenye pepo muchafu, na akasema kwa sauti kubwa:+ 34 “Aa! Tuko na shida gani na wewe, Yesu Munazareti?+ Je, umekuja kutuharibu? Ninajua kabisa wewe ni nani, Mutakatifu wa Mungu.”+ 35 Lakini Yesu akamukemea, na kusema: “Nyamaza na umutoke.” Basi kisha kuangusha mutu huyo chini katikati yao, ule pepo muchafu akamutoka bila kumuumiza. 36 Basi wote wakashangaa na kuanza kuambiana: “Maneno haya ni ya namna gani? Kwa maana anaagiza roho wachafu kwa mamlaka na nguvu, na wanatoka!” 37 Basi habari juu yake zikaendelea kuenea katika kila pembe katika inchi ya pembeni-pembeni.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine