Matayo 7:28, 29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Wakati Yesu alimaliza kusema maneno hayo, watu wengi wakashangazwa na namna yake ya kufundisha,+ 29 kwa maana alikuwa anawafundisha kama mutu mwenye mamlaka,+ hapana kama waandishi wao.
28 Wakati Yesu alimaliza kusema maneno hayo, watu wengi wakashangazwa na namna yake ya kufundisha,+ 29 kwa maana alikuwa anawafundisha kama mutu mwenye mamlaka,+ hapana kama waandishi wao.