38 Kisha kutoka katika sinagogi, akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa mama-mukwe wa Simoni alikuwa anateswa na homa kali, na wakamuomba amusaidie.+ 39 Kwa hiyo Yesu akasimama karibu yake, akakemea ile homa, na ikamutoka. Mara moja ule mama akasimama na kuanza kuwatumikia.