Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 8:14, 15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Na wakati Yesu aliingia katika nyumba ya Petro, aliona mama-mukwe wa Petro+ amelala na alikuwa na ugonjwa wa homa.+ 15 Basi akagusa mukono wake,+ na homa hiyo ikamutoka, akasimama na kuanza kumutumikia.

  • Luka 4:38, 39
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 Kisha kutoka katika sinagogi, akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa mama-mukwe wa Simoni alikuwa anateswa na homa kali, na wakamuomba amusaidie.+ 39 Kwa hiyo Yesu akasimama karibu yake, akakemea ile homa, na ikamutoka. Mara moja ule mama akasimama na kuanza kuwatumikia.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine