27 Sasa Yesu na wanafunzi wake wakaondoka na kuenda kwenye vijiji vya Kaisaria Filipi, na katika njia akaanza kuuliza wanafunzi wake, na kusema: “Watu wanasema mimi ni nani?”+ 28 Wakamuambia: “Yohana Mubatizaji,+ lakini wengine wanasema Eliya,+ na wengine, mumoja wa manabii.”