Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 10:28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 28 Na musiogope wale wenye wanaua mwili lakini hawawezi kuua nafsi;*+ lakini, muogope ule mwenye anaweza kuharibu vyote viwili, nafsi na mwili katika Gehena.*+

  • Matayo 23:33
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 33 “Ninyi nyoka, uzao wa nyoka-vipiri,+ mutakimbia namna gani hukumu ya Gehena?*+

  • Luka 12:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Lakini nitawaonyesha ule munapaswa kuogopa: Mumuogope Ule mwenye kisha kuua iko* na mamlaka ya kutupa ndani ya Gehena.*+ Ndiyo, ninawaambia ninyi, mumuogope Ule.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine