29 Basi, kama jicho lako la kuume linafanya ujikwae, ulingoe na ulitupe mbali na wewe.+ Kwa maana ni muzuri zaidi upoteze kimoja cha viungo vyako kuliko mwili wako wote utupwe katika Gehena.*+
9 Tena, kama jicho lako linafanya ukwazike, lingoe* na kulitupa mbali na wewe. Ni muzuri zaidi kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja kuliko kutupwa katika Gehena* ya moto ukiwa na macho mbili.+