13 “Ninyi ni chumvi+ ya dunia, lakini kama chumvi inapoteza nguvu yake, ni nini inaweza kufanywa ili nguvu yake ya kukoleza irudie tena? Haina tena faida yoyote, inapaswa kutupwa inje+ ili ikanyangwe na watu.
34 “Kwa kweli chumvi ni ya muzuri. Lakini chumvi ikipoteza nguvu yake, itakolezwa na nini?+35 Haifae kwa ajili ya udongo ao kwa ajili ya mbolea. Watu wanaitupa. Ule mwenye kuwa na masikio ya kusikiliza, asikilize.”+