Mwanzo 1:27 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 27 Na Mungu akaumba mutu kwa mufano wake, kwa mufano wa Mungu alimuumba; mwanaume na mwanamuke aliwaumba.+ Mwanzo 5:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Mwanaume na mwanamuke aliwaumba.+ Siku yenye aliwaumba,+ aliwabariki na kuwaita Mwanadamu.* Matayo 19:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Akawajibu: “Je, hamukusoma kama ule mwenye aliwaumba tangu mwanzo aliwafanya mwanaume na mwanamuke+
27 Na Mungu akaumba mutu kwa mufano wake, kwa mufano wa Mungu alimuumba; mwanaume na mwanamuke aliwaumba.+
4 Akawajibu: “Je, hamukusoma kama ule mwenye aliwaumba tangu mwanzo aliwafanya mwanaume na mwanamuke+