25 Wakati wanafunzi walisikia jambo hilo, wakashangaa sana, na kusema: “Ni nani kwa kweli anaweza kuokolewa?”+26 Yesu akawaangalia kwa kuwakazia macho na kuwaambia: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekane, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+
26 Wale wenye walisikia jambo hilo wakasema: “Ni nani basi anaweza kuokolewa?”+27 Akasema: “Mambo yenye hayawezekane kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”+