Matayo 5:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanawalaumu+ na kuwatesa+ na kuwasingizia kila namna ya uovu kwa sababu yangu.+ Matendo 14:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kule wakatia wanafunzi nguvu,*+ kwa kuwatia moyo wabakie katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia taabu nyingi.”+
11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanawalaumu+ na kuwatesa+ na kuwasingizia kila namna ya uovu kwa sababu yangu.+
22 Kule wakatia wanafunzi nguvu,*+ kwa kuwatia moyo wabakie katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia taabu nyingi.”+