Matayo 19:30 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 30 “Lakini wengi wenye kuwa wa kwanza watakuwa wa mwisho, na wa mwisho watakuwa wa kwanza.+ Matayo 20:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Kwa njia hiyo, wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.”+ Luka 13:30 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 30 Na muangalie! kuko wale wa mwisho wenye watakuwa wa kwanza, na kuko wale wa kwanza wenye watakuwa wa mwisho.”+
30 Na muangalie! kuko wale wa mwisho wenye watakuwa wa kwanza, na kuko wale wa kwanza wenye watakuwa wa mwisho.”+