-
Matayo 20:20, 21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Kisha mama ya wana wa Zebedayo+ akamukaribia pamoja na watoto wake, akainama mbele yake na kumuomba jambo fulani.+ 21 Akamuambia: “Unataka nini?” Akamujibu: “Uniahidi kwamba hawa watoto wangu wawili watakaa, mumoja kwenye mukono wako wa kuume na mwingine kwenye mukono wako wa kushoto, katika Ufalme wako.”+
-