Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 20:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Lakini Yesu akawaita na kusema: “Munajua kwamba watawala wa mataifa wanapiga ubwana juu yao na wakubwa wanatumia mamlaka juu yao.+

  • Luka 22:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Lakini akawaambia: “Wafalme wa mataifa wanapiga ubwana juu yao, na wale wenye kuwa na mamlaka juu yao wanaitwa Watenda-mema.+

  • 1 Petro 5:2, 3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Muchunge kundi la Mungu+ lenye liko chini ya uongozi wenu, mukiwa waangalizi,* hapana kwa kulazimishwa, lakini kwa kupenda mbele ya Mungu;+ hapana kwa kupenda faida yenye haiko ya haki,+ lakini kwa hamu; 3 hapana kwa kupiga ubwana juu ya wale wenye kuwa uriti wa Mungu,+ lakini mukuwe mifano kwa kundi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine