Matayo 8:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Basi, akanyoosha mukono wake, akamugusa, na kusema: “Ninataka! Kuwa safi.”+ Mara moja akakuwa safi na ukoma wake ukaisha.+ Luka 5:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Basi akanyoosha mukono wake, akamugusa, na kusema: “Ninataka! Kuwa safi.” Mara moja ule ukoma ukamutoka.+
3 Basi, akanyoosha mukono wake, akamugusa, na kusema: “Ninataka! Kuwa safi.”+ Mara moja akakuwa safi na ukoma wake ukaisha.+
13 Basi akanyoosha mukono wake, akamugusa, na kusema: “Ninataka! Kuwa safi.” Mara moja ule ukoma ukamutoka.+