Malaki 3:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 “Je, mwanadamu bure anaweza kumuiba Mungu? Lakini ninyi munaniiba.” Na munasema: “Tumekuiba namna gani?” “Katika zaka* na michango. Matayo 22:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Wakasema: “Ni vya Kaisari.” Kisha akawaambia: “Basi, mumulipe Kaisari vitu vya Kaisari, lakini Mungu vitu vya Mungu.”+ Luka 20:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Akawaambia: “Basi, mulipe Kaisari vitu vya Kaisari,+ lakini Mungu vitu vya Mungu.”+
8 “Je, mwanadamu bure anaweza kumuiba Mungu? Lakini ninyi munaniiba.” Na munasema: “Tumekuiba namna gani?” “Katika zaka* na michango.
21 Wakasema: “Ni vya Kaisari.” Kisha akawaambia: “Basi, mumulipe Kaisari vitu vya Kaisari, lakini Mungu vitu vya Mungu.”+