5 Lakini tu mukuwe waangalifu sana ili kutimiza amri na Sheria yenye Musa mutumishi wa Yehova aliwapatia,+ kwa kumupenda Yehova Mungu wenu,+ kwa kutembea katika njia zake zote,+ kwa kushika amri zake,+ kwa kushikamana naye,+ na kwa kumutumikia+ kwa moyo wenu wote na nafsi yenu yote.”+