-
Matayo 22:42-45Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
42 “Munawaza nini juu ya Kristo? Yeye ni mwana wa nani?” Wakamuambia: “Wa Daudi.”+ 43 Akawauliza: “Basi, sababu gani Daudi kwa kuongozwa na roho+ anamuita Kristo Bwana, wakati anasema, 44 ‘Yehova* alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume mupaka niweke maadui wako chini ya miguu yako”’?+ 45 Basi, kama Daudi anamuita Bwana, yeye ni mwana wake namna gani?”+
-
-
Luka 20:41-44Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
41 Naye akawauliza: “Sababu gani watu wanasema kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?+ 42 Kwa maana Daudi mwenyewe anasema katika kitabu cha Zaburi, ‘Yehova* alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume 43 mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”’+ 44 Kwa hiyo, Daudi anamuita Bwana; basi yeye ni mwana wake namna gani?”
-