Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 22:42-45
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 42 “Munawaza nini juu ya Kristo? Yeye ni mwana wa nani?” Wakamuambia: “Wa Daudi.”+ 43 Akawauliza: “Basi, sababu gani Daudi kwa kuongozwa na roho+ anamuita Kristo Bwana, wakati anasema, 44 ‘Yehova* alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume mupaka niweke maadui wako chini ya miguu yako”’?+ 45 Basi, kama Daudi anamuita Bwana, yeye ni mwana wake namna gani?”+

  • Luka 20:41-44
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 41 Naye akawauliza: “Sababu gani watu wanasema kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?+ 42 Kwa maana Daudi mwenyewe anasema katika kitabu cha Zaburi, ‘Yehova* alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume 43 mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”’+ 44 Kwa hiyo, Daudi anamuita Bwana; basi yeye ni mwana wake namna gani?”

  • Yohana 7:42
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 42 Je, andiko haliseme kwamba Kristo anakuja kutoka katika uzao wa Daudi+ na kutoka katika Betlehemu,+ kijiji kwenye Daudi alikuwa?”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine