Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 110:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 110 Yehova alimuambia Bwana wangu:

      “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume+

      Mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+

  • Matendo 2:34, 35
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 34 Kwa maana Daudi hakupanda mbinguni, lakini yeye mwenyewe anasema, ‘Yehova* alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume 35 mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”’+

  • 1 Wakorinto 15:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Kwa maana anapaswa kutawala akiwa mufalme mupaka wakati Mungu atakuwa ameweka maadui wote chini ya miguu yake.+

  • Waebrania 1:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Lakini ni juu ya nani kati ya malaika amekwisha kusema: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako”?+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine