Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Luka 3:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Yohana akajibu, akiwaambia wote: “Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji, lakini ule mwenye nguvu kuliko mimi anakuja, na sistahili kufungua kamba za viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu na kwa moto.+

  • Yohana 1:26, 27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Yohana akawajibu: “Mimi ninabatiza katika maji. Kuko mutu mwenye amesimama katikati yenu mwenye ninyi hamumujue, 27 ule mwenye anakuja nyuma yangu, mwenye sistahili kufungua kamba ya kiatu chake.”+

  • Matendo 13:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Lakini wakati Yohana alikuwa karibu kumaliza utumishi wake, alikuwa anasema: ‘Munawaza mimi ni nani? Mimi siko yeye. Lakini muangalie! Kuko Mutu mwenye anakuja kisha mimi, mwenye sistahili kufungua viatu vya miguu yake.’+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine