30 Kwa kweli, Yesu alifanya pia alama zingine nyingi mbele ya wanafunzi, zenye hazikuandikwa katika kitabu hiki cha kukunjwa.+ 31 Lakini mambo haya yameandikwa ili muamini kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu, na kwa sababu ya kuamini, mupate uzima kupitia jina lake.+