Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 26:57
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 57 Wale wenye walimukamata Yesu na kumufunga wakamupeleka kwa Kayafa+ kuhani mukubwa, kwenye waandishi na wazee walikuwa wamekusanyika pamoja.+

  • Yohana 18:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Wakamupeleka kwanza kwa Anasi, kwa maana alikuwa baba-mukwe wa Kayafa,+ mwenye alikuwa kuhani mukubwa mwaka huo.+

  • Yohana 18:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Kisha Anasi akaagiza Yesu apelekwe kwa kuhani mukubwa Kayafa,+ akiwa amefungwa.

  • Matendo 4:5, 6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Siku yenye ilifuata, watawala wao, wazee, na waandishi wakakusanyika pamoja Yerusalemu, 6 pamoja na Anasi+ mukubwa wa makuhani, Kayafa,+ Yohana, Aleksanda, na wote wenye walikuwa wa jamaa ya mukubwa wa makuhani.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine