Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 1:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Yakobo akamuzaa Yosefu bwana ya Maria, mwenye alizaa Yesu,+ mwenye anaitwa Kristo.+

  • Matayo 13:55
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 55 Je, huyu haiko mwana wa ule seremala?+ Mama yake haitwe Maria, na ndugu zake Yakobo, Yosefu, Simoni, na Yuda?+

  • Luka 4:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Na wote wakaanza kutoa ushahidi muzuri juu yake na kushangazwa na maneno yenye kupendeza yenye kutoka katika kinywa chake,+ na walikuwa wanasema: “Huyu ni mwana wa Yosefu, haiko vile?”+

  • Yohana 6:42
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 42 Na wakaanza kusema: “Je, huyu haiko Yesu mwana wa Yosefu, mwenye tunajua baba yake na mama yake?+ Sasa namna gani anasema, ‘Nimeshuka kutoka mbinguni’?”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine