Mwanzo 21:2, 3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kwa hiyo Sara akakuwa na mimba,+ kisha akamuzalia Abrahamu mwana katika miaka yake ya uzee kwa wakati wenye uliwekwa, wenye Mungu alikuwa amemuahidi.+ 3 Abrahamu akamupatia mwana wake mwenye alizaliwa jina Isaka,+ mwenye Sara alikuwa amemuzalia.
2 Kwa hiyo Sara akakuwa na mimba,+ kisha akamuzalia Abrahamu mwana katika miaka yake ya uzee kwa wakati wenye uliwekwa, wenye Mungu alikuwa amemuahidi.+ 3 Abrahamu akamupatia mwana wake mwenye alizaliwa jina Isaka,+ mwenye Sara alikuwa amemuzalia.