-
Yeremia 1:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
Nilikufanya kuwa nabii kwa mataifa.”
-
-
Waroma 9:10-12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Haiko wakati huo tu, lakini pia wakati Rebeka alipata mimba ya mapacha kupitia ule mwanaume mumoja, Isaka babu yetu;+ 11 kwa maana wakati walikuwa hawajazaliwa na walikuwa hawajafanya jambo lolote la muzuri ao la mubaya, ili kusudi la Mungu juu ya kuchagua liendelee kutegemea, hapana matendo, lakini Ule mwenye anaita, 12 Rebeka aliambiwa: “Mukubwa atakuwa mutumwa wa mudogo.”+
-