Waebrania 1:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Anafanya malaika wake kuwa roho, na watumishi wake*+ kuwa mwali wa moto.”+ Waebrania 1:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Je, wao wote hawako roho kwa ajili ya utumishi mutakatifu,*+ wenye walitumwa ili kutumikia wale wenye watariti wokovu?
7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Anafanya malaika wake kuwa roho, na watumishi wake*+ kuwa mwali wa moto.”+
14 Je, wao wote hawako roho kwa ajili ya utumishi mutakatifu,*+ wenye walitumwa ili kutumikia wale wenye watariti wokovu?