Matendo 7:59, 60 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 59 Wakati walikuwa wanamupiga Stefano majiwe, akaomba hivi: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” 60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie zambi hii.”+ Na kisha kusema maneno hayo, akalala usingizi katika kifo. Waroma 12:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Muendelee kubariki wale wenye wanawatesa ninyi;+ mubariki lakini musilaani.+
59 Wakati walikuwa wanamupiga Stefano majiwe, akaomba hivi: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” 60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie zambi hii.”+ Na kisha kusema maneno hayo, akalala usingizi katika kifo.