Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:44
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 44 “Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni atasimamisha ufalme+ wenye hautaharibiwa hata siku moja.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utaponda na kumaliza falme hizi zote,+ na ufalme huo peke yake utasimama milele,+

  • Danieli 7:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 “Nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na angalia! mutu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa anakuja na mawingu ya mbingu; na akapewa ruhusa ya kumukaribia Muzee wa Siku,+ na wakamuleta karibu mbele ya Huyo. 14 Na akapewa utawala,+ heshima,+ na ufalme, ili vikundi vya watu, mataifa, na vikundi vya luga, wote wamutumikie.+ Utawala wake ni utawala wenye unadumu milele wenye hautapitilia mbali, na ufalme wake hautaharibiwa.+

  • Waebrania 1:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Lakini juu ya Mwana, anasema: “Mungu ni kiti chako cha ufalme+ milele na milele, na fimbo ya Ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine