23 ‘Hakika nitatakasa jina langu kubwa,+ lenye lilichafuliwa kati ya mataifa, lenye mulichafua kati yao; na mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,’+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, ‘wakati nitatakaswa kati yenu mbele ya macho yao.