Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Hamupaswe kuchafua jina langu takatifu,+ na ninapaswa kutakaswa katikati ya Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, mwenye kuwatakasa,+

  • Isaya 5:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Yehova wa majeshi atainuliwa kupitia hukumu* yake;

      Mungu wa kweli, Mutakatifu,+ atajitakasa kupitia haki.+

  • Ezekieli 36:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 ‘Hakika nitatakasa jina langu kubwa,+ lenye lilichafuliwa kati ya mataifa, lenye mulichafua kati yao; na mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,’+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, ‘wakati nitatakaswa kati yenu mbele ya macho yao.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine