-
Danieli 7:13, 14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 “Nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na angalia! mutu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa anakuja na mawingu ya mbingu; na akapewa ruhusa ya kumukaribia Muzee wa Siku,+ na wakamuleta karibu mbele ya Huyo. 14 Na akapewa utawala,+ heshima,+ na ufalme, ili vikundi vya watu, mataifa, na vikundi vya luga, wote wamutumikie.+ Utawala wake ni utawala wenye unadumu milele wenye hautapitilia mbali, na ufalme wake hautaharibiwa.+
-
-
Matayo 6:9-13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 “Basi ninyi munapaswa kusali hivi:+
“‘Baba yetu mwenye kuwa mbinguni, jina lako+ litakaswe.*+ 10 Ufalme wako+ ukuje. Mapenzi yako+ yafanyike duniani kama mbinguni.+ 11 Utupatie leo mukate wetu kwa ajili ya siku hii;+ 12 na utusamehe madeni yetu, kama vile sisi pia tumesamehe wenye kuwa na madeni yetu.+ 13 Na usituingize katika jaribu,+ lakini utukomboe* na ule muovu.’+
-