-
Yohana 2:24, 25Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Lakini Yesu hakukuwa anawatumainia kwa sababu aliwajua wote 25 na kwa sababu hakukuwa na lazima mutu yeyote amutolee ushahidi juu ya mwanadamu, kwa maana alijua mambo yenye yalikuwa ndani ya mwanadamu.+
-