46 Na Maria akasema: “Nafsi yangu inamutukuza Yehova,+ 47 na roho yangu haiwezi kuacha kufurahia sana Mungu Mwokozi wangu,+ 48 kwa sababu ameangalia hali ya chini ya mutumwa wake.+ Kwa maana angalia! tangu sasa na kuendelea vizazi vyote vitanitangaza kuwa mwenye furaha,+