52 Ni nani kati ya manabii mwenye mababu zenu hawakutesa?+ Ndiyo, waliua wale wenye walitangaza mbele ya wakati kuja kwa ule mwenye haki,+ mwenye ninyi mulisaliti na kuua,+
32 Na nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati kama ninaendelea kueleza juu ya Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yefta,+ Daudi,+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine.
37 Walipigwa majiwe,+ walijaribiwa, walikatwa vipande mbili kwa musumeno,* walichinjwa kwa upanga,+ walitembea huku na huku wakiwa wamevaa ngozi za kondoo,+ wakiwa wamevaa ngozi za mbuzi, wakiwa katika uhitaji, katika taabu,+ walitendewa mubaya;+