10 Muto mudogo wa moto ulikuwa unatiririka na kutoka mbele yake.+ Maelfu elfu waliendelea kumutumikia, na elfu kumi mara elfu kumi walisimama mbele yake.+ Tribinali+ ikakaa, na vitabu vikafunguliwa.
11 Na nikaona, na nikasikia sauti ya malaika wengi kuzunguka kile kiti cha ufalme na vile viumbe vyenye uzima na wale wazee, na hesabu yao ilikuwa makumi ya maelfu ya makumi ya maelfu na maelfu ya maelfu,+