Matayo 24:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Wakati alikuwa amekaa chini kwenye Mulima wa Mizeituni, wanafunzi wakamukaribia akiwa peke yake, na kusema: “Tuambie, mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakuwa alama ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mupangilio wa mambo?”*+ Marko 13:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakuwa alama wakati mambo haya yote yatafika kwenye umalizio?”+
3 Wakati alikuwa amekaa chini kwenye Mulima wa Mizeituni, wanafunzi wakamukaribia akiwa peke yake, na kusema: “Tuambie, mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakuwa alama ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mupangilio wa mambo?”*+
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakuwa alama wakati mambo haya yote yatafika kwenye umalizio?”+