-
Marko 13:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Na wakati watawakamata ninyi ili kuwapeleka, musianze kuhangaika juu ya mambo yenye mutasema; lakini mambo yenye mutapewa saa ile, muyaseme, kwa sababu haiko ninyi munasema, lakini ni roho takatifu.+
-
-
Matendo 6:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Sasa Stefano, akiwa amekubaliwa na Mungu na akiwa amejaa nguvu, alikuwa anafanya maajabu na alama nyingi kati ya watu.
-
-
Matendo 6:10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Lakini hawakuweza kumushinda kwa sababu ya hekima yake na roho yenye ilimuongoza kusema.+
-