Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 12:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Wakati siku zake za utakaso kwa ajili ya mutoto mwanaume ao mutoto mwanamuke zitamalizika, atamuletea kuhani mwana-kondoo dume katika mwaka wake wa kwanza kwa ajili ya toleo la kuteketezwa+ na njiwa mudogo ao njiwa-tetere kwa ajili ya toleo la zambi kwenye muingilio wa hema ya mukutano.

  • Mambo ya Walawi 12:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Lakini kama hawezi kupata kondoo, basi anapaswa kukamata njiwa-tetere wawili ao njiwa wawili wadogo,+ mumoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa na mumoja kwa ajili ya toleo la zambi, na kuhani atafunika zambi kwa ajili ya mwanamuke huyo, na atakuwa safi.’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine