-
Mambo ya Walawi 12:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Wakati siku zake za utakaso kwa ajili ya mutoto mwanaume ao mutoto mwanamuke zitamalizika, atamuletea kuhani mwana-kondoo dume katika mwaka wake wa kwanza kwa ajili ya toleo la kuteketezwa+ na njiwa mudogo ao njiwa-tetere kwa ajili ya toleo la zambi kwenye muingilio wa hema ya mukutano.
-