Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 52:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Muchangamuke, mupige pamoja vigelegele vya shangwe, ninyi mabomoko ya Yerusalemu,+

      Kwa maana Yehova amefariji watu wake;+ amekomboa Yerusalemu.+

  • Marko 15:43
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 43 Yosefu wa Arimatea, mushiriki wa Baraza mwenye kuheshimiwa, mwenye alikuwa pia anangojea Ufalme wa Mungu, akakuja. Akajipatia uhodari, akaingia na kuja mbele ya Pilato na akaomba apewe mwili wa Yesu.+

  • Luka 2:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Na angalia! katika Yerusalemu kulikuwa mutu mumoja mwenye kuitwa Simeoni; alikuwa mwenye haki na mwenye kumuogopa Mungu, na alikuwa anangojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine