-
Luka 2:25Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
25 Na angalia! katika Yerusalemu kulikuwa mutu mumoja mwenye kuitwa Simeoni; alikuwa mwenye haki na mwenye kumuogopa Mungu, na alikuwa anangojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.
-