Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Luka 7:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Wakati alikaribia mulango mukubwa wa muji, angalia! kulikuwa mufu mwenye alikuwa anapelekwa inje, alikuwa mwana mumoja tu* wa mama yake.+ Zaidi ya hayo, mama huyo alikuwa mujane. Watu wengi sana kutoka katika muji huo walikuwa pamoja na ule mwanamuke.

  • Luka 7:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Akakaribia na kugusa kitanda cha kubebea maiti, na wale wenye walikuwa wanakibeba wakasimama. Kisha akasema: “Kijana, ninakuambia, amuka!”+

  • Luka 8:52-54
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 52 Lakini watu wote walikuwa wanalia na kujipiga-piga kwa huzuni kwa ajili ya ule mutoto mwanamuke. Basi akawaambia: “Muache kulia,+ kwa maana hakukufa lakini analala usingizi.”+ 53 Halafu wakaanza kumucheka kwa zarau, kwa sababu walijua amekufa. 54 Lakini akamukamata mukono na kumuita: “Mutoto, amuka!”+

  • Yohana 11:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Yesu akamuambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Ule mwenye ananiamini, hata akikufa, ataishi tena;

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine