-
Luka 8:52-54Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
52 Lakini watu wote walikuwa wanalia na kujipiga-piga kwa huzuni kwa ajili ya ule mutoto mwanamuke. Basi akawaambia: “Muache kulia,+ kwa maana hakukufa lakini analala usingizi.”+ 53 Halafu wakaanza kumucheka kwa zarau, kwa sababu walijua amekufa. 54 Lakini akamukamata mukono na kumuita: “Mutoto, amuka!”+
-