Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 20:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Na nikaona wafu, wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme, na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa. Lakini kitabu kingine cha kukunjwa kikafunguliwa; hicho ni kitabu cha kukunjwa cha uzima.+ Wafu wakahukumiwa kupatana na yale mambo yenye kuandikwa katika vile vitabu vya kukunjwa kulingana na matendo yao.+

  • Ufunuo 20:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Zaidi ya hayo, kila mutu mwenye hakupatikana ameandikwa katika kile kitabu cha uzima+ alitupwa ndani ya lile ziwa la moto.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine