Luka 9:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Lakini wakati watu wengi walijua hilo, wakamufuata. Akawapokea kwa fazili na akaanza kuwaambia juu ya Ufalme wa Mungu, na akaponyesha wale wenye walikuwa na lazima ya kuponyeshwa.+
11 Lakini wakati watu wengi walijua hilo, wakamufuata. Akawapokea kwa fazili na akaanza kuwaambia juu ya Ufalme wa Mungu, na akaponyesha wale wenye walikuwa na lazima ya kuponyeshwa.+