Matayo 14:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Kisha kuaga wale watu wengi, akapanda kwenye mulima akiwa peke yake ili kusali.+ Wakati ilikuwa usiku, alikuwa kule peke yake. Marko 6:45 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 45 Kisha, bila kukawia, akaambia wanafunzi wake wapande katika mashua* na wamutangulie kuenda ngambo ingine ya bahari kuelekea Betsaida, wakati yeye mwenyewe alikuwa anaaga wale watu wengi.+
23 Kisha kuaga wale watu wengi, akapanda kwenye mulima akiwa peke yake ili kusali.+ Wakati ilikuwa usiku, alikuwa kule peke yake.
45 Kisha, bila kukawia, akaambia wanafunzi wake wapande katika mashua* na wamutangulie kuenda ngambo ingine ya bahari kuelekea Betsaida, wakati yeye mwenyewe alikuwa anaaga wale watu wengi.+