28 Mukuje kwangu, ninyi wote wenye kuteseka na wenye kulemewa na mizigo, na mimi nitawapumuzisha. 29 Mubebe nira yangu na mujifunze kupitia mimi, kwa maana mimi ni mwenye tabia ya upole na munyenyekevu katika moyo,+ na mutapata pumuziko kwa ajili yenu.