-
Yohana 10:18Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Hakuna mutu mwenye anauchukua kutoka kwangu, lakini ninautoa kwa uamuzi wangu mwenyewe. Niko na mamlaka ya kuutoa, na niko na mamlaka ya kuupokea tena.+ Amri hii niliipokea kutoka kwa Baba yangu.”
-
-
Yohana 15:10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Kama munashika amri zangu, mutabakia katika upendo wangu, kama vile mimi nilishika amri za Baba na ninabakia katika upendo wake.
-