Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yohana 10:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Hakuna mutu mwenye anauchukua kutoka kwangu, lakini ninautoa kwa uamuzi wangu mwenyewe. Niko na mamlaka ya kuutoa, na niko na mamlaka ya kuupokea tena.+ Amri hii niliipokea kutoka kwa Baba yangu.”

  • Yohana 12:49
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 49 Kwa maana sikusema kwa uamuzi wangu mwenyewe, lakini Baba mwenye alinituma, yeye mwenyewe amenipatia amri juu ya jambo la kusema na la kufundisha.+

  • Yohana 15:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Kama munashika amri zangu, mutabakia katika upendo wangu, kama vile mimi nilishika amri za Baba na ninabakia katika upendo wake.

  • Wafilipi 2:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Zaidi ya hayo, wakati alikuja akiwa mwanadamu,* alijinyenyekeza mwenyewe na kuwa mutiifu mupaka kifo,+ ndiyo, kifo kwenye muti wa mateso.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine